UGANDA YAOMBA KUTUMIA UWANJA WA MKAPA MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022.
Timu ya Taifa ya Uganda inatarajiwa kutumia Uwanja wa Taifa wa Tanzania kama uwanja wao wa nyumbani kwenye michuano ya kufuzu Kombe la Dunia la 2022. Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) limelijulisha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya msaada wanaohitaji wa kutumia Uwanja wa Mkapa kama uwanja wao wa nyumbani ikiwa watashindwa kupata Uwanja
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed